Sunday 10 August 2014


 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande)
 Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.
Kikosi cha Zesco.
 Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.
Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa kirafiki wa kimataifa wa Simba Day uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Zesco ilishinda 3-0.
Golikipa wa Zesco, Lameck Nyangu akiokoa moja ya hatri zilizoelekezwa langoni mwake.
Amis Tambwe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Zesco, Bernad Mapili.
 Mshambuliaji wa Ismba, Issa Rashid akichuana na beki wa Zesco.
Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Haasan Dalali akitambulishwa.
Crescentius Magori akitambulishwa jukwaa Kuu.
 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akipeana mkono na Ivo Mapunda.
 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akiwa amepozi katrika picha na kipa wa Simba, Ivo Mapunda.
 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima akisalimiana na
Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera.
 MC akiongoza sherehe za Simba Day.
 Timu zikiingia uwanjani.
 Wachezaji wakiingia uwanjani.
Benchi la ufundi la Zesco.
 Timu za Simba na Zesco kabla ya mchezo.
 Tunawakilisha.
Twanga Pepeta wakitoa burudani.
 Mashabiki wa Simba wakiwa hawaamini kilichotokea uwanjani baada ya kufuungwa mabao 3-0 na Zesco.
Wanenguaji wa Twanga Pepeta wakitumbuiza wakati wa mechi ya Simba na Zesco ya Zambia.

0 comments:

Post a Comment