Friday 22 August 2014

 Majaji wakiliingiza kwenye gari jeneza lenye mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame, baada ya ibada ya kumuombea iliyofanyika katika Kanisa la St. Albano la Anglikana, Dar es Salaam.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
 Waombolezaji wakipita kumuaga Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam
 Padri Augustino Ramadhani ambaye ni Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, akipita kuuaga mwili wa Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), marehemu Jaji mstaafu Lewis Makame, baada ya kuendesha ibada ya kumuombea katika Kanisa la Anglikana la St. Albano, Dar es Salaam
Mjane wa marehemu, Lewis Makame, Mary Makame akiuaga mwili wa mumewe katika Kanisa la St. Albano la Anglikana, Dar es Salaam. Mwili wa marehemu unasafirishwa kesho kwenda Kijiji cha Tongwe, wilayani Muheza,Tanga kwa mazishi.

0 comments:

Post a Comment