Wednesday 20 August 2014



Naibu Meya wa Jiji la Mbeya Chifoda Yesaya Fungo akizindua Mradi wa kuzuia ukatili wa kijinsia kwa wanawake katika ukumbi wa Halmashauri jiji Mbeya

Mrtibu wa MBEPAU Jane Lawa akitoa maelezo mafupi jinsi mradi huo utakavyofanya kazi kwa kushirikiana wadau mbalimbali katika jamii


Mratibu wa NGOS Victor Kabuye akifafanua zaidi jinsi mradi huo utakavyofanya kazi karibu na jamii 




 Chifu Kiongozi wa Kabila la Kisafwa Bwana Roketi Mwanshinga akitoa neno la shukrani kwa waratibu wamradi wa MBEPAU kuwa wameupokea mradi huo kwa mikono miwili na sasa kazi tu kushirikiana kutokomeza vitendo vya ukatili wa kinjinsia



Baadhi ya wageni waalikwa katika uzinduzi wa mradi huo wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi


MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAKRISTO MKOA WA MBEYA AKITOA NENO LA SHUKRANI


PICHA YA PAMOJA MARA BAADA YA KUZINDULIWA KWA MRADI HUO

0 comments:

Post a Comment