Saturday 9 August 2014


 Mtalaamu wa washirika hilio tawi la mbeya  MH CLEMENCE BUSARA 

 Angalia malengo na maono ya yes Tanzania

Mratibu wa YES TANZANIA Bi PRISCA WALLACE MANGO 
YES TANZANIA hizi ndizo kazi zetu  namalengo yetu kwa vijana
Mtalaamu wa washirika hilio tawi la mbeya  MH CLEMENCE BUSARA  akiwa katika uelimishaji

Shirika la  YES TANZANIA(YOUTH EDUCATION THROUGH SPORTS TANZANIA)   ambalo lina jishughulisha na uelimishaji wa ujasiliamali demcrisia na utawala bora kupitia michezo  kwa vijana   limeweza kusaidia vijana zaidi ya 1300 nchi nzima kwa kujikwa mua kiuchumi nakuweza kufanikisha vijan hao kujijengea uwezo na kwa baadhi yao kujiali wenyewe hali ambayo awali ili kuwa  ngumu kwao, hayo yamesmwa na mtalaamu wa washirika hilio tawi la mbeya  MH CLEMENCE BUSARA ambaye pia ni mkurugenzi wa kampuni ya mercy and wise  alipokuwa akizumza na mtandao huu ofisini kwakwe

Pamoja na hayo ameongeza kuwa nadi ya vijanoa hao 1300 asilimia 20% ambao nisawa na vijana 260 tayari ameisha jikwamua kiuchumi na kuanzisha makampuni mablimbali nchini  pia amesema shirika  hilo lina shrikiana na mashrika makubwa duniani kuhakisha elimu kwa vijana inafika kwa ufanisi zaidi, mtalaamu huyo alitaja baadhi ya mashirika ni pamoja na ILO shirika la kazi duniani ,   SIYB, EAST AFRICAASSOCIATION NA WISE AND MERCY COMPANY na mengine mengi

Kwa upande wake mratibu wa YES TANZANIA Bi PRISCA WALLACEMANGO  amesema kuwa YES- Tanzania  nishirika ambalo  linatoa elimu ya ujasiliamali,democrasia na utawala bora  kwa vijana kwa kutumia michezo kwa kufanya makongamano ,semina mbalimbali mjini na vijijini ili kuwa wafikia kirahisi zaidi pia ameongeza kuwa michezo ni moja wapo ya  njia wanazo zitumia ili kufisha elimu au ujumbe kwa vijana

BI PRISCA  amewaomba vijana kuwa watambue kuwa michezo ni ajira ambayo iniyoweza kumpeleka mbali zaidi kijana hususani katika jumbozima  la maendeleo yake bifsi na nchi kwa ujumla ,wazazi wanatakiwa  kuwahimiza  vijana wao kujiingiza au kufanya  kazi ambayo itawaletea maanufaa kwa vijana wao   alisema maratibu huyo

Pia ametoa wito kwa kijana ambaye ataka kujiunanga na shrike hilo kwa ajiri ya elimu ya ujasilia mali ,democrsia na utawala bora wanakaribiswa  na wanapatikana nchizima  kwa upande wa wa nyanza za juu  wapo  eneo la nane au unaweza kupiga simu namba  simu 0758259464, AU 0686350995  

0 comments:

Post a Comment