Wednesday 10 September 2014




 

Picha hizi zinaonesha basi lenye namba za usajili T 273 CDD mali ya kampuni ya Super Feo lililopata ajali katika kijiji cha Sanangula mkoani Ruvuma, ambalo lilikuwa likisafiri leo kutoka Songea mjini kwenda mkoani Mbeya.

0 comments:

Post a Comment