Friday 19 December 2014

mkuu wa wilaya ya songea akifungua mkutano kati ya wataalam wa misitu na wafanyabiashara wa mazao ya misitu wilaya ya songea mkaoni Ruvuma.
Mkuu wa wilaya ya songea akitoa msisitizo wa kusimamia sheria za uvunaji wa misitu ili kuepuka kutokea kwa jangwa katika maeneo ya wilaya ya songea.


meneja wa wakala wa huduma za misitu wilaya ya songea bi Manyisye Kibona Mpokigwa  pamoja na kaimu mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya songea bwana godifrei chipakapaka.
Baadhi ya mabwana miti wilaya ya songea wakifuatlia kwa umakini mkubwa katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa maliasili wa mkoa wa Ruvuma.

wafanyabiashara wachache wakisiliza mada ya mabadiliko ya taratibu za uvunaji na biashara ya mazao ya misitu.

MAELEZO NA MATHIAS PONDAMALI.
imeelzwa kuwa utaratibu wa uvunaji wa miti kwa ajili ya mkaa,mbao na kuni ni pamoja na uvunaji huo ufanyike katika eneeo lililoruhusiwa tu,uvunaji kwa ajili ya mbao hauruhusiwi kuanusha mti kabla ya kupima kipenyo,haiuhusiwi kuchana magogo kwa kutumia msumeno wa mnyororo(chainsaw.

Lakini pia utaratibu wa usafirishaji wa mazao ya misitu kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine
>kabla ya kuanza kusafirisha mazao ya misitu hakikisha umelipa ushuru wa serikali kuu na wa halmashauri ya wilaya.
>kila mfanyabiashara wa mazao ya misitu lazimaawe bna hati ya kusafirisha anapotoka sehemu moja kwenda nyingine
>Hairuhusiwi kusafirishaji mazao ya misitu yakiwemo mazao ya mkaa na kuni zaidi ya saa kumi na mbuili jioni na kabla ya saa kumi na mbili asubuhi.
>Mazao yote ya misitu kama vile mbao,mkaa,samani au kuni yatakayoyatakayosafirishwa kwa njia ya yoyote kama vile magari madogo pikipiki baiskeli,mikokoteni,baiskeli na nk.
>nyaraka zinazohusika zikaguliwe.

0 comments:

Post a Comment