RSS Feed Twitter

PONDAMALI NA MATUKIO

Sample Text

Pages

  • Home

Sample Text

Sample text

Pages

  • Home
Powered by Blogger.

Social Icons

Social Icons

Followers

About Me

Unknown
View my complete profile

Blog Archive

  • ►  2015 (21)
    • ►  June (2)
    • ►  May (13)
    • ►  February (5)
    • ►  January (1)
  • ▼  2014 (382)
    • ▼  December (16)
      • NAKUSHAURI RAIS WANGU KIKWETE, MUACHE MUHONGO AMAL...
      • Bayport yamjaza manoti mwanafunzi wa MUCE.
      • MAHABUSU APIGWA RISASI AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA...
      • Moto wateketeza maduka 18, magari na pikipiki Hand...
      • MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 31,2014 SOMA HAPA.
      • RAIS DR. JAKAYA KIKWETE AMTOSA WAZIRI WA ARDHI PRO...
      • Rais Kikwete azungumza na wazee
      • Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha .
      • TUKIO LA UJAMBAZI,MLANDEGE ZANZIBAR LEO .
      • Mahakama yawalazimisha watu kuvaa kinga kabla ya k...
      • Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji.
      • Escrow:Je Kikwete atategua kitendawili?
      • Wakala wa huduma za misitu songea yakutana na wafa...
      • PONDAMALI NA MAGAZETI YA LEO IJUMAA TRH 19.12.2014...
      • Purukushani bungeni nchini Kenya
      • Kilio cha Albino Tanzania
    • ►  September (78)
    • ►  August (218)
    • ►  July (70)

Popular Posts

  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Davis Mamunyange Azinduwa Uwanja wa Michezo ya Majeshi Zanzibar. ;
    Waandishi wakipata maelekezo ya Uzinduzi wa Uwanja Mpya wa Michezo ya Majeshi Zanziba...
  • Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116.
     24 Julai, 2014 - Saa 12:35 GMT ...
  • fukwe za Ziwa Nyasa zapambwa na Bayi iliyopo kijiji cha ndengere.
    Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma imebarikiwa kuwa na fukwe za asili ambazo hazifanani na fukwe nyingine zozote dunia...
  • MTOTO WA BABA WA TAIFA NA VITALIS MAEMBE KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGIA JUKWAA LA SANAA;
    Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa...
  • WAVUVI WA MWAMBAO WA ZIWA NYASA WATOA DUKUDUKU ZAO KWA SERIKALI ILI KUNUSURU AFYA ZAO.
    Ziwa Nyasa limezungukwa na nchi tatu ambazo ni Tanzania,Malawi na Msumbuji.Ziwa hilo lipo kwenye usawa wa meta 500 toka usawa wa bahari, ...
  • Mansour akamatwa Zanzibar
    Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Mansour Yusuph Himid akiwa  Makao Makuu ya Polisi Zanzibar jana...
  • UKAWA: "HATURUDI BUNGENI" WALIA NA VIONGOZI WA DINI WANAOIPIGIA DEBE CCM
    UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema licha ya viongozi wa dini kuwataka warejee katika Bunge Maalum la Katiba, hawatafanya hivy...
  • VIJANA WA JKT MLALE SONGEA WAMALIZA MAFUZO YA MUJIBU WA KUJITOLEA YA MIAKA 50 YA MUNGANO;
     Mgeni Rasimi katika kufunga mafunzo ya kujitolea ya Miaka 50 ya Mungano Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akipandis...
  • CHINA YAUNGANA NA TANZANIA KUTOKOMEZA UHALIFU
    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imekabidhiwa msaada wa vifaa vyenye thamani zaidi ya milioni mia moja kutoka kwa Serika...
  • HABARI MPASUKOOOO. UONGOZI CCM MBEYA WAVULIWA MADARAKA;
    Katibu wa Siasa na uenezi wa CCM Mkoa wa Mbeya, Bashiru Madodi akisoma Tamko hilo. Baadhi ya ...

Featured Posts

  • Home
  • Business
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads
    • Dvd
    • Games
    • Software
      • Office
  • Parent Category
    • Child Category 1
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized

Thursday, 11 December 2014

Kilio cha Albino Tanzania

11:30 Unknown
Wanachama wa chama cha maalbino wakitembelea kisiwani ambako wanaishi walemavu wa ngozi
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake akitayarisha chakula cha jioni. Watoto wake wengine wawili wanachezea hapa karibu na pia wamejaliwa na mtoto mchanga amabye yuko chumbani analala.
May alipokuwa na umri wa miezi mitatu, aliponea jaribio la kutekwa nyara.
Albino wanauawa kinyama kwa ajili ya imani potovu
" nilikuwa nimeenda ziwani kuvua samaki. walikuwa pekee yao nyumbani wavamizi walipokuja, mke wangu alitorokea kwa dirisha na kukimbillia usalama akiwa na May, na akawawacha watoto hawa wawili nyumabani ambao hawakuwadhuru kabisa", Mtobi ananiarifu.
"Wavamazi hao walikuwa wakimtaka May," Sabina anaongezea, "mume wangu alikuwa ameenda safari ya uvuvi na wavamizi hao walijua na hio ndio sababu walikujia mtoto wangu, baada ya kutorokea kwa dirisha, bado waliniandama huku nikipiga mayoye ya usaidizi, waliwacha kuniandama wakati tu niliwaamsha majirani"
May ni mojawapo wa Albino sabini wanaoishi katika kisiwa hiki cha Ukerewa ambacho ni masaa matatu tu kutoka mwanza, mji wa pili mkubwa zaidi Tanzania.
Elimu kwa jamii
Mtobi anasema "tunaiomba serikali kufanya juhudu zaidi za kuelimisha jamii hapa, serikali ishawahi kuandaa majadiliano kuhusu Albino na kulikuwa na mabadiliko makuwa, akini si hivyo tena"
Shirika lisilo la kiserekali chini ya mrengo wa 'The Same Sun' linalowashughulikia jamii ya Albino hapa Ukerewa, linasema kuwa kisiwa hiki hakina usalama kando na vile watu wangependa kuamini.
Idadi ya maalbino waliouawa ni kubwa na kuna hofu ya wengine wengi kuuawa kutokana na imani potovu
Mwenye kiti wa chama cha maalbino tawi la Mwanza, (TAS) Alfred Kapole, mzaliwa wa Ukerewe, alilazimika kutorokea mji wa Mwanza akiwa mmoja wa albino wa kwanza kufika kortini baada ya kiognozi mmoja wa kijiji akitaka kumuua kwa ajili ya nywele zake.
Mwaka uliopita boma lake lilivamiwa, kwa bahati nzuri alikuwa ameenda mwanza. Kulikuwa na jairibio lEngine la kumuua mwaka huu.
Kampeni kabambe
Serikali ya Tanzania imeanzisha kampeni ili kuchangisha fedha za kuelimisha jamii.
Kampeni nyingi za uhamasishaji hufanyika mijini kwani ni rahisi kufikia watu,lakini ni vijiji ndivyo vinahitaji msaada zaidi.
Ramadhan Khalfan, ambaye ni mwenyekiti wa chama cha albino Ukerewa,anasema kuwa wanataka kufikia maeneo ya vijiji na kuzungumza na watu,lakini ni vigumu kutokana na ukosefu wa fedha za kutosha.''Hatuna uwezo ama njia za kufikia jamii zilizoko vijijini.Aliongezea kusema,''tunategemea pakubwa redio na televisheni,lakini hatuwezi kufika mashinani kwa sababu ya gharama.''
Mnara unaowapa matumaini watanzania Serengema
Sehemu ya Serengema inapatikana kilomita 60 (maili 33.5) kutoka Mwanza.Ili kusisitiza shida hii,umejengwa mnara katika mzunguko katikati ya mji.
Ni sanamu ya chuma kimo cha binadamu,inayoonyesha baba mwenye rangi akimbeba begani mto wake albino huku mama yake mwenye rangi akitundika kofia yenye ukingo mpana kwenye kichwa cha mwana huyo kumkinga kutokana na miale ya jua.Pia kuna majina ya watu 139 ya waathiriwa waliouawa,kuvamiwa ama miili yao kuibiwa kutoka kwenye makaburi.
Serengema ndio sehemu iliyoathirika vibaya zaidi.
Kuna mashirika kadhaa yasiyo ya kiserikali yanayofanya kazi pamoja na chama cha Tanzania Albino katika kuhamasisha na pia kujenga makaazi.
Mashirika yasiyo ya kiserikali yanaamini kuwa uhamasisho na kuacha imani potovu zinaweza kusimamisha mauaji haya.
Kamanda mkuu wa polisi mjini Mwanza anasema kuna changamoto nyingi sana katika kukabiliana na mauaji ya Albino
Mwakilishi wa chama cha Serengema Mashaka Benedict anasema kuwa watu bado wanaamini kuwa sehemu za mwili wa albino zinaweza kuleta utajiri.''Kama hiyo ndiyo hali,mbona sisi si matajiri?''anauliza.
Anadai kuwa watu mashuhuri wanahusika katika ''biashara ya mauaji'' na ndio maanake watu wachache sana wamekamatwa,kushitakiwa,kupatikana na hatia ama kufungwa.''Itakuwa vipi masikini kutoa dola 10,000 kwa kipande cha mwili?,ni wanabiashara na wanasiasa ndio wanaohusika.''
Hata hivyo polisi wanasema kuwa wanachungunza kila moja ya visa lakini wanakosa ushahidi wa kuthibitisha madai yanayotolewa.Kamanda wa polisi wa Mwanza,Valentino Mlolowa anasema,''Kesi hizi ni ngumu kwa kuwa visa hufanyika mashinani sana katika sehemu ambazo hazina stima kwa mfano,na hiyo inafanya kuwajua wahalifu usiku kuwa vigumu.Tunachunguza kila moja ya kesi na madai,lakini kama uonavyo,si rahisi.''
Yaweza onekana kama kuwa tumepoteza kila kitu lakini hii haiwazuilii watu wanaoishi na hali ya Uhalbino kama May Mosi,kutokuwa na tumaini kuwa fedha zinazochangishwa kutoka kwenye kampeni iliyoanzishwa na serikali zitasaidia kusikizwa zaidi kwa Albino nchini Tanzania.

Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

Popular Posts

  • SIKU YA MASHUJAA YAFAANA MKOANI IRINGA.
    Friday, 25 July 2014 ...
  • MUHIMU SOMA HAPA::::MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA WAKATI WA KUJAZA FORM ZA MIKOPO HAYA HAPA '
    During the verification exercise of the 2014/2015 loan application forms, the Board has come ...
  • UVCCM ARUSHA WAMTIMUA KATIBU WAO ;
    Baraza Kuu la Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani Arusha limemtimua katibu wake wa mkoa, Gerald Mwadalu kwa ...
  • PAPA FRANCIS AMRUHUSU PADRI WA MOSHI NCHINI TANZANIA KUOA MKE. ;
    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la...
  • SIFA 6 ZA MWANAUME ANAYESTAHILI KUWA MUMEO: ZISOME HAPA;
    Wiki hii nitazungumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia hatua ya ku...
  • PICHA ZA RED CARPET KATIKA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) LILILOFANYIKA USIKU WA KUAMKIA LEO
     Wadau wa TMT wakiwa kwenye Red Carpet ndani ya Ukumbi wa Mlimani City katika FAinali ya Shindano la Kusak...

Blogger templates

Blog Archive

  • ►  2015 (21)
    • ►  June (2)
    • ►  May (13)
    • ►  February (5)
    • ►  January (1)
  • ▼  2014 (382)
    • ▼  December (16)
      • NAKUSHAURI RAIS WANGU KIKWETE, MUACHE MUHONGO AMAL...
      • Bayport yamjaza manoti mwanafunzi wa MUCE.
      • MAHABUSU APIGWA RISASI AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMA...
      • Moto wateketeza maduka 18, magari na pikipiki Hand...
      • MAGAZETI YA LEO JUMATANO DESEMBA 31,2014 SOMA HAPA.
      • RAIS DR. JAKAYA KIKWETE AMTOSA WAZIRI WA ARDHI PRO...
      • Rais Kikwete azungumza na wazee
      • Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha .
      • TUKIO LA UJAMBAZI,MLANDEGE ZANZIBAR LEO .
      • Mahakama yawalazimisha watu kuvaa kinga kabla ya k...
      • Mtanzania ahukumiwa maisha kwa mauaji.
      • Escrow:Je Kikwete atategua kitendawili?
      • Wakala wa huduma za misitu songea yakutana na wafa...
      • PONDAMALI NA MAGAZETI YA LEO IJUMAA TRH 19.12.2014...
      • Purukushani bungeni nchini Kenya
      • Kilio cha Albino Tanzania
    • ►  September (78)
    • ►  August (218)
    • ►  July (70)
Copyright © PONDAMALI NA MATUKIO |imetengenezwa na> VOSE ARTS 0786064208 Bonyeza Hapa
Design by NewWpThemes | Blogger Theme by Lasantha - Premium Blogger Templates | NewBloggerThemes.com