Tuesday 17 February 2015

Msaani A.T akipokelewa na mashabiki wake sonngea ilikuwa nooma sana.
mashabiki wa muziki wakifuatilia kinachoendelea kwenye stage wenyewe wanasema was amazing sana songea ilitikisika kwa hii show.
msaani mkali wa miondoko ya RnB songea anafahamika kwa jina la Cammy bwoy akifanya yake kwa stage.
G luck G  Bahati akafanya noma kwa miondoko ya kupali na kucheza sana hii nayo ilikuwa nooma.
Roby songea msanii wa songea akatisha kwa miondoko ya hip hop mashabiki walimpokea kwa shangwe mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 

Foby one mkali wa miondoko ya RnB songea akiwa anafanya yake kwa stage ilikuwa safiiii sana
mashabiki walijitokeza wengi katika show ilikuwa safiiiiiiiiiiiiioiiiiiiiiiiiii
ZM akiwa amebebw na mashabiki wake songea alikimbiza vibaya sana.




Tuesday 10 February 2015



Sunday 8 February 2015